Posts

Showing posts from July, 2020

DKT NCHIMBI AMPA TANO RAIS KWA KUIINGIZA TZ KATIKA UCHUMI WA KATI

Image
 Mkuu wa MKoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi akifunga  mafunzo maalum ya  siku sita kwa wadau zaidi ya 300 kutoka katika mikoa mbalimbali nchini  yaliyokuwa yameandaliwa na Baraza la Taifa  la watu wanaoishi na  virusi vya UKIMWI (NACOPHA) kupitia “Mradi wa Hebu Tuyajenge” unaotekelezwa katika kipindi cha miaka mitano 2019-2024, unaofadhiliwa na  Shirika la Marekani  la  Maendeleo ya Kimataifa (USAID) katika mikoa 22 Tanzania Bara. kushoto Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Rahabu Mwagisa, Kulia Mkurugenzi wa Utatifi wa NACOPHA  Pantaleo Shoki >Awataka wenye virusi kufanya kazi bila hofu                                        >Awaonya wanaomchokoza,asisitiza hatatia nia Na John Mapepele Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi am...