DKT NCHIMBI AMPA TANO RAIS KWA KUIINGIZA TZ KATIKA UCHUMI WA KATI
Mkuu wa MKoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi akifunga mafunzo maalum ya siku sita kwa wadau zaidi ya 300 kutoka katika mikoa mbalimbali nchini yaliyokuwa yameandaliwa na Baraza la Taifa la watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI (NACOPHA) kupitia “Mradi wa Hebu Tuyajenge” unaotekelezwa katika kipindi cha miaka mitano 2019-2024, unaofadhiliwa na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) katika mikoa 22 Tanzania Bara. kushoto Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Rahabu Mwagisa, Kulia Mkurugenzi wa Utatifi wa NACOPHA Pantaleo Shoki >Awataka wenye virusi kufanya kazi bila hofu >Awaonya wanaomchokoza,asisitiza hatatia nia Na John Mapepele Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi am...